VIDEO: BABA AJIKUTA MATATANI BAADA YA KUJARIBU KUMZIKA MWANAWE WA WIKI MBILI AKIWA HAI
Jamaa mwenye umri wa miaka
26 katika Wilaya ya Kakamega alinusurika kifo baada ya wakazi waliokuwa
wamejawa na jazba kutaka kumwangamiza kwa kujaribu kumzika mtoto wake
aliyezaliwa wiki mbili zilizopita. Inasemekana kuwa John Maina alitaka kufanya
hivyo baada ya mkewe kutoroka nyumbani kutokana na tofauti za kinyumbani. Angalia video hapo chini......
No comments:
Post a Comment