Monday, May 19, 2014

SATURDAY NIGHT LIVE - WAIGIZA KILICHOTOKEA KWA JAY Z, BEYONCE NA SOLANGE

Mpaka sasa utakuwa umeshaona au umesikia kilichotokea katika familia ya The Carter Jay Z, pale Solange alipomshambulia Jay Z wakiwa kwenye lifti baada ya after party ya Met Gala Mei 5. Baada ya video ile kuvuja, kesho yake Jay na Solange walienda kwenye kucheck wote kikapu. Katika kipindi hicho yuko mshikaji anajiita Jay Pharoah, mwanadada Maya Rudolph na Sasheer Zamata.
Maya Rudolph ameigiza kama Beyonce na Sasheer Zamata ameiigiza kama Solange…Check video hapo chini inachekesha sana tena hasa kama unaijua ile story ya Jay Z kushambuliwa na shemeji yake Solange Knowles.

No comments:

Post a Comment