Thursday, May 1, 2014

MSANII ABADILISHA JINA ALILOPEWA NA WAZAZI KUTOKA AZIMA MPAKA AZMA "NIA"

AZMA ni lengo, dhumuni au nia,hili ni jina lake kabisa la darasani, na ni jina ambalo alijiita mwenyewe, wazazi wake walimuita AZIMA, akiwa darasa la tatu, akajibadili na kuanza kujiita AZMA baada ya kuvutiwa na maana ya jina hilo, na akaanza kuandika AZMA badala ya AZIMA mpaka kwenye daftari la darasani.

KUWA NA AZMA au kuwa na nia,ameandika huu wimbo kama dedication kwa watu wote,wanao pambana kutafuta maisha, Maisha yana vikwazo sana,tunatapaswa kuwa na AZMA(NIA) ya dhati, katika kufanya jambo lolote, vikwazo ni sehemu ya maisha, tusikate tamaa, kwa kuwa VIKWAZO(challenges) vipo ili kuonyesha ni kiasi gani tuko STRONG. Icheck Video

No comments:

Post a Comment