Saturday, May 17, 2014

MSANII WAFILAMU NCHINI TANZANIA ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA



MAREHEMU ADAM KUAMBIANA ENZI ZA UHAI WAKE
Msanii mahiri wa filam nchini, Adam Kuambiana, amefariki dunia alfajili ya kuamkia leo wakati akipelekwa kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.
Aidha imeelezwa kuwa marehemu kuambiana, kabla ya kufikwa na umauti alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa tumbo baada ya kuanguka ghafla chooni wakati akiwa katika harakati za kurekodi 'Location' katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, jijini Dar.
 HOSPITALI ALIYOFIA MSANII ADAM KUAMBIANA
BAADHI YA WASANII WAKIWA WAMEBEBA MWILI WA MAREHEMU KUAMBIANA KUUPELEKA HOSPITALI YA MUHIMBILI
(Pictures in courtesy of Global Publishers)

No comments:

Post a Comment