Saturday, May 17, 2014

NEW AUD: COMING SOON - "NATESA NAE" JOSLIN FEAT STOPA

Baada ya kufanya ngoma iliyojulikana kwa jina la "Sio Kiivyo" yenye maadhi ya riddim, wasanii wawili wakali katika gemu la Bongo Flava, sasa wanarudi na ngoma nyingine kali inayofahamika kwa jina la "Natesa Nae" wimbo ambao unategemea kutoka wiki ijayo na kusikika katika radio stations mbalimbali pamoja kwenye mitandao.

 Ngoma hiyo imetengenezwa na mtayarishaji wa mapigo ya muziki anaefahamika kama Davi_Dizzo ndani ya Legend Studio..Kaa mkao wa kula isubiri "Natesa Nae" kutoka kwa Joslin akiwa amemshirkisha Stopa The Rjymecca..Stay Tuned.

No comments:

Post a Comment