Wednesday, May 7, 2014

JAY Z AMVALISHA PETE YA NDOA BEYONCE KWA MARA YA PILI


JAY Z AKIMVALISHA BEYONCE PETE KWENYE MET GALA

Jay Z na Beyonce ni wapenzi wanaopendeza sana na wanawavutia watu wengi duniani, kwa hiyo haishangazi kwamba kirahisi walishinda MET GALA na pozi zuri la kumvalisha pete kwa mara nyingine  the DIVA Beyonce. 

Wakati Beyonce alipopoteza pete yake kwenye red carpet ya MET GALA jana usiku, Jay Z akiwa mume wa Beyonce aliinama na kuiokota pete iliyokuwa imepotea kwenye red carpet ili amvalishe Beyonce, lakini hakumpa tu aliinama kidogo na kumvalisha kama alivyomvalisha siku akimuoa, jana akamvalisha kwa mara ya pili. Jay Z alifanya utani kama akimuomba Beyonce kumvalisha pete na Beyonce alikubali. Ulikuwa ni utani mzuri sana alioufanya Jay Z kumvalisha pete Beyonce huku akionyesha kuinama kwa heshima…Funny.

No comments:

Post a Comment