Chama tawala nchini
Afrika Kusini cha African National Congress (ANC) kinaongoza katika uchaguzi wa
kihistoria uliofanyika Jana.
Chama cha upinzani cha Democratic Alliance, kinashikilia nafasi ya pili kwa asilimia 24 ya kura, ikiashiria ongezeko maradufu ya kura ikilinganishwa na uchaguzi uliotangulia.
Chama kipya kinachoongozwa na aliyekuwa kiongozi wa tawi la vijana katika ANC JULIUS MALEMA, kinashikilia nafasi ya tatu na asilimia 5 ya kura zilizopigwa
No comments:
Post a Comment